Home »
» CHADEMA YAPATA PIGO GEITA,MSHINDI WA SERIKALI ZA MITAA AKUTWA AMEFARIKI
CHADEMA YAPATA PIGO GEITA,MSHINDI WA SERIKALI ZA MITAA AKUTWA AMEFARIKI
Chama cha democrasia na maendeleo mkoani Geita kimepata pigo baada ya mshindi wa serikali za mitaa Bertha Chimani, kukutwa amefariki katika shimo la choo.
Chanzo;Nipashe
0 comments:
Post a Comment