Home » » MANCHESTER UNITED YAICHAPA 3-0 LIVERPOOL

MANCHESTER UNITED YAICHAPA 3-0 LIVERPOOL




Magoli ya Wayne Rooney,Juan Mata na Van Parsie yameipa ushindi Manchester United wa magoli 3-0 dhidi ya mahasimu wao wakubwa Liverpool.





Photo: Goal! United 3 Liverpool 0 (71’) – Juan Mata rolls the ball right for Robin van Persie to steer into an empty net with Brad Jones stranded.                                                   
Kwa ushindi huo Manchester united wamefikisha pointi 31 wakiwa nyuma kwa pointi  8 dhidi ya vinara Chelsea ambao wana pointi 39, wakifuatiwa na Manchester City wenye pointi 36 wakiwa katika nafasi ya pili na nafasi ya tatu ikishikwa na mashetani wekundu Man u



Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger