COASTER YAUWA 11 MKOANI TANGA

 

Taswira kutoka eneo la Mkanyageni baada ya ajali hiyo mbaya iliyoua watu 11.


WATU 11 wanadaiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa katika ajali mbaya eneo la Mkanyageni mkoani Tanga baada ya gari aina ya Toyota Coaster yenye namba za usajili T 410 BJD kugongana na Scania namba T 605 ABJ asubuhi hii.

Katika ajali hiyo, Coaster lilikuwa likitoka mkoani Tanga kwenda Lushoto na madereva wa magari yote mawili hawajulikani walipo baada ya ajali.

Miili ya marehemu katika ajali hiyo imehifadhiwa katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Muheza, Tanga.
Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi. AMEN 
Chanzo:MJENGWA

MBRAZIL WA YANGA AANZA RASMI MAZOEZI


Kiungo Mbrazil, Emerson de Oliveira Neves Roque wa pili kulia akiwa mazoezini na wachezaji wenzake, Mbrazl Andrey Coutinho kulia, Hamisi Kiiza Hussein Javu asubuhi ya leo katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Mabibo, Dar es Salaam. Emerson amewasili jana nchini kwa ajili ya majaribio Yanga SC. 

   Emerson amewasili jana nchini kwa ajili ya majaribio Yanga SC. 


RIPOTI YA CAG KUHUSU ESCROW ILIYOSOMWA JANA BUNGENI ....HIPO HAPA UNAWEZA SIKILIZA



http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2013/05/03/130503182744_bunge_tanzania_304x171_bbc_nocredit.jpg

Katika kikao cha Bunge kilichokaa leo Novemba 26 Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe na Makamu wake Deo Filikunjombe waliwasilisha Ripoti ya ishu ya Escrow ambapo kama hukupata kusikiliza wakati Ripoti hiyo ikiwasilishwa hii ni sehemu ya uwasilishwaji wa Ripoti hiyo.

…Katika fedha ambazo zimelipwa kwa watu binafsi katika Benki hizi yapo majina ya viongoozi wa kisiasa, viongozi wa madhehebu ya dini, Majaji na watumishi wengine wa Serikali..“– Zitto Kabwe.

 

Kwa upande wa Viongozi wa Kisiasa walioingiziwa fedha katika akaunti zao binafsi ni; Mheshimiwa Andrew Chenge Mbunge, ambaye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na sasa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, shilingi Bil. 1.6, mheshimiwa Anna  Tibaijuka Mbunge na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, shilingi Bil. 1.6, Mheshimiwa William Ngeleja Mbunge na ambaye alikuwa Waziri wa Nishati na Madini, shilingi milioni 40.4, ndugu Daniel Yona ambaye alikuwa pia Waziri wa Nishati na Madini shilingi milioni 40.4, ndugu Paul Kimiti, ambaye ni Mbunge mstaafu wa Jimbo la Sumbawanga shilingi milioni 40.4 na ndugu Enos Bukuku ambaye alikuwa Mjumbe wa Bodi ya TANESCo aliingiziwa shilingi milioni 161.7…“– Zitto Kabwe.

Kwa upande wa Majaji,  Profesa Eudis Ruangisa aliingiziwa shilingi milioni 404, Mheshimiwa Mujulizi milioni 40.4.
Kwa upande wa Viongozi wa madhehebu ya Kidini walioingiziwa fedha ni Askofu Methodius Kilain shilingi Milioni 80.9, Askofu Nzigirwa milioni 40.4 na Mchungaji Alphonce Simon milioni 40.4..”– Zitto Kabwe.

… Kamati imependekeza kuwa uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali utenguliwe mara moja na kisha afikishwe Mahakamani kwa matumizi mabaya ya Ofisi yaliyopelekea Serikali kupoteza mabilioni ya fedha za umma…“– Deo Filikunjombe.

Kwa upande wa Waziri Mkuu kuhusiana na suala hili baada ya kupitia vielezo vilivyomo kwenye ripoti ya CAG kamati imejiridhisha pasipo mashaka kuwa Waziri Mkuu  alikuwa ana taarifa zote kuhusiana na mchakato mzima wa kuchota  fedha kwenye akaunti ya Escrow, ushahidi ulioletwa mbele ya kamati  za ofisi ya CAG ulionyesha kuwa Waziri Mkuu alikuwa akipata taarifa juu ya jambo hili na kamati imethibitishwa kuona kuwa Waziri Mkuu hakuchukua hatua yoyote kuzuia mhamala huu usifanyike…“– Deo Filikunjombe.

Kamati kwa kuzingatia kielelezo namba 22 inathibitisha kwamba bila shaka Waziri Mkuu alikuwa analijua jambo hili vizuri sana na kwamba aliridhia mhamala huu usifanyike, ndio maana katika maelezo yake  ya Bungeni mara kadhaa Waziri Mkuu alilithibitishia Bunge kuwa fedha za ESCROW hazikuwa fedha za umma…”– Deo Filikunjombe.

 Kumsikiliza Zitto Kabwe akiwasilisha Ripoti hiyo, bonyeza play hapa

MATOKEO YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE HAYA HAPA

MAGAZETI YA LEO NOV 26,2014 HAYA HAPA

 .
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.


Credit na millardayo.com

MAGAZETI YA LEO NOV 25,2014 YAPO HAPA

 .
 .

.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger