Home » » Kauli ya kwanza ya Dr. Magufuli baada ya ushindi wa urais na shangwe za ...

Kauli ya kwanza ya Dr. Magufuli baada ya ushindi wa urais na shangwe za ...

 
Baada ya Rais mteule wa Tanzania, Dr. John Magufuli na Makamu wake Mama Samia Suluhu Hassan kukabidhiwa cheti na Tume ya Uchaguzi NEC, safari ilianza toka Ukumbi wa Diamond Jubilee Upanga mpaka Ofisi za CCM mtaa wa Lumumba Dar ambapo wanaCCM na viongozi wengine walikusanyika.
Video yake kwenye kile alichokisema kwenye Jukwaa la CCM mtaa wa Lumumba hiki hapa…

                                                         

Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger