Home » » MANCHERSTER UNITED YATINGA ROBO FAINALI YA FA CUP,,USO KWA USO NA ARSENAL

MANCHERSTER UNITED YATINGA ROBO FAINALI YA FA CUP,,USO KWA USO NA ARSENAL

Manchester United umetinga robo fainali ya kombe la FA baada ya kuifunga Preston Noth End magoli 3-1 katika uwanja wa Old Trafford,Wageni walikuwa wakwanza kupata goli katika Dk 47 kupitia kwa Scott Laird alipiga shuti kali ambalo lilimbabatiza kipa David De Gea na kutinga Nyavuni.
Herrera looks towards United's travelling contingent as he passionately celebrates his vital second-half strike
Lakini Mashetani wekundu Man Utd wakazawasha Dakika ya 65 Baada ya Ander Herrera kupiga shuti na ambalo liliwapita mabeki pamoja na kipa wa Preston,Dakika ya 72 Marouane Fellaine akaipatia Man Utd goli la pili kabla ya Kaptain Wayne Rooney kufunga Goli la 3 katika Dakika za lala salama kwa mkwaju wa penati. Mpaka dakika 90 zinakamilika Man Utd 3-1 Preston Noth End.

Kwa matokeo hayo Manchester United Wametinga robo fainali ya kombe hilo Ambapo watakutana na Arsenal Machi 7 au 8 katika Uwanja wa Old Trafford.
Former Everton man Fellaini celebrates his winning goal with team-mate Ashley Young in front of the travelling supporters at Deepdale
 
 Rooney leaps into the air to celebrate his successful spot-kick in front of United's travelling supporters at Deepdale
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger