Lakini Mashetani wekundu Man Utd wakazawasha Dakika ya 65 Baada ya Ander Herrera kupiga shuti na ambalo liliwapita mabeki pamoja na kipa wa Preston,Dakika ya 72 Marouane Fellaine akaipatia Man Utd goli la pili kabla ya Kaptain Wayne Rooney kufunga Goli la 3 katika Dakika za lala salama kwa mkwaju wa penati. Mpaka dakika 90 zinakamilika Man Utd 3-1 Preston Noth End.
Kwa matokeo hayo Manchester United Wametinga robo fainali ya kombe hilo Ambapo watakutana na Arsenal Machi 7 au 8 katika Uwanja wa Old Trafford.
0 comments:
Post a Comment