MAGAZETI YA LEO FEBRUARY 24,2015 YAPO HAPA









.

January Makamba - Tanzania Mpya


.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
DSC09873 DSC09874 DSC09875 DSC09876 DSC09877
.
.
.
.
.
.
.
.
.                  
 Magazeti haya ni kwa hisani ya millardayo.com

MAGAZETI YA LEO ALHAMIS


  •  














RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27

                

Mizengo-Pinda
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana na wakuu wa wilaya watatu kufariki dunia; kupandishwa cheo wakuu wa wilaya watano, kupangiwa majukumu mengine wakuu wa wilaya saba na kutenguliwa kwa uteuzi wa wakuu wa wilaya 12.
Hata hivyo, Waziri Mkuu alisema, Rais Kikwete amewabadilisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 64 na kuwabakiza kwenye vituo vyao vya zamani wakuu wa wilaya 42.
Wakuu wa Wilaya wapya 27 walioteuliwa ni Mariam Ramadhani Mtima anayeenda Ruangwa; Dk. Jasmine B. Tiisike anayeenda Mpwapwa; Pololeti Mgema (Nachingwea); Fadhili Nkurlu anayeenda Misenyi; Felix Jackson Lyaniva anayeenda Rorya na Fredrick Wilfred Mwakalebela anayeenda wilayaya Wanging'ombe.
Wengine na vituo vyao kwenye mabano ni Zainab Rajab Mbussi (Rungwe); Francis K. Mwonga (Bahi); Kanali Kimiang'ombe Samwel Nzoka (Kiteto), Husna Rajab Msangi (Handeni), Emmanuel J. Uhaula (Tandahimba); Mboni Mhita (Mufindi); Hashim S. Mgandilwa (Ngorongoro); Mariam M. Juma (Lushoto); Thea Medard Ntara (Kyela); Ahmad H. Nammohe (Mbozi); Shaban Kissu (Kondoa) na Stephen Zelothe (Musoma).
Wengine ni Pili Moshi (Kwimba); Mahmoud A. Kambona (Simanjiro); Glorius B. Luoga (Tarime); Zainab R. Telack (Sengerema); Bernard Nduta (Masasi); Zuhura Mustafa Ally (Uyui); Paulo Makonda (Kinondoni); Mwajuma Nyiruka (Misungwi) na na Maftah Ally Mohamed (Serengeti).
Wakuu wa Wilaya saba ambao uteuzi wao umetenguliwa lakini watapangiwa kazi nyingine ni Brig. Jenerali Cosmas Kayombo aliyekuwa Simanjiro; Kanali Ngemela E. Lubinga (aliyekuwa Mlele); Juma S. Madaha (aliyekuwa Ludewa); Mercy E. Silla (aliyekuwa Mkuranga); Ahmed R. Kipozi (aliyekuwa Bagamoyo); Mrisho Gambo (aliyekuwa Korogwe) na Elinas A. Pallangyo (aliyekuwa Rombo).
Waziri Mkuu pia aliwataja Wakuu wa Wilaya 12 ambao uteuzi wao umetenguliwa kutokana na sababu za umri, kiafya na kuimarisha utendaji Serikaini na wilaya zao kwenye mabano kuwa ni James K. Ole Millya (Longido); Elias Wawa Lali (Ngorongoro); Alfred Ernest Msovella (Kongwa); Danhi Beatus Makanga (Kasulu); Fatma Losindilo Kimario (Kisarawe); Elibariki E. Kingu (Igunga); Dk. Leticia Moses Warioba (Iringa); Evarista N. Kalalu (Mufindi); Abihudi M. Saideya (Momba); Martha J. Umbulla (Kiteto); Khalid J. Mandia (Babati) na Elias Goroi (Rorya).
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
DODOMA. FEBRUARI 18, 2015.

MANCHERSTER UNITED YATINGA ROBO FAINALI YA FA CUP,,USO KWA USO NA ARSENAL

Manchester United umetinga robo fainali ya kombe la FA baada ya kuifunga Preston Noth End magoli 3-1 katika uwanja wa Old Trafford,Wageni walikuwa wakwanza kupata goli katika Dk 47 kupitia kwa Scott Laird alipiga shuti kali ambalo lilimbabatiza kipa David De Gea na kutinga Nyavuni.
Herrera looks towards United's travelling contingent as he passionately celebrates his vital second-half strike
Lakini Mashetani wekundu Man Utd wakazawasha Dakika ya 65 Baada ya Ander Herrera kupiga shuti na ambalo liliwapita mabeki pamoja na kipa wa Preston,Dakika ya 72 Marouane Fellaine akaipatia Man Utd goli la pili kabla ya Kaptain Wayne Rooney kufunga Goli la 3 katika Dakika za lala salama kwa mkwaju wa penati. Mpaka dakika 90 zinakamilika Man Utd 3-1 Preston Noth End.

Kwa matokeo hayo Manchester United Wametinga robo fainali ya kombe hilo Ambapo watakutana na Arsenal Machi 7 au 8 katika Uwanja wa Old Trafford.
Former Everton man Fellaini celebrates his winning goal with team-mate Ashley Young in front of the travelling supporters at Deepdale
 
 Rooney leaps into the air to celebrate his successful spot-kick in front of United's travelling supporters at Deepdale
 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger